THAMINI PROGRAM

Mpango wa Kuwezesha Wamiliki wa Ardhi Kuithamini na Kuiongezea Thamani Ardhi Yao

UTANGULIZI

Umiliki wa ardhi ni suala mtambuka linalohitaji taaluma mbalimbali ili kupata, kumiliki, na kuendeleza ardhi kwa maendeleo endelevu. Wamiliki wengi wa ardhi na mashamba wanakumbwa na changamoto kama:

Kwa kutambua changamoto hizi, BIG SALE AGENT CO. LTD imezindua THAMINI PROGRAM, mpango wa kusaidia wamiliki wa ardhi kuongeza thamani ya mashamba yao kwa njia endelevu kupitia huduma mbalimbali.

MIPANGO MIDOGO NDANI YA THAMINI PROGRAM

1. LEGAL SECURITY PLAN

Kuweka usalama wa umiliki wa ardhi kisheria na kupunguza migogoro. Inajumuisha huduma zifuatazo:

Faida za Ulinzi wa Kisheria wa Ardhi:

2. PHYSICAL SECURITY PLAN

Kuhakikisha ardhi inalindwa kimazingira na kimwili, kwa usafi, mipaka, na matumizi endelevu. Inajumuisha huduma zifuatazo:

Faida kwa Mmiliki wa Ardhi:

3. DEVELOPMENT INVESTMENT PLAN

Kukuza na kuendeleza ardhi kupitia uwekezaji wa miundombinu na uzakishaji mali. Inajumuisha programu zifuatazo:

Faida kwa Wamiliki:

JINSI YA KUJIUNGA NA MPANGO HUU:

✅ Fika moja kwa moja ofisini kwetu:

📍 Tegeta Kibo, Dar es Salaam – Jengo la Mjapani Complex ghorofa ya kwanza

📞 Piga simu au tuma ujumbe: 0743 223 880

🌐 Tembelea tovuti yetu: www.bigsaleagent.com

📲 Tufuatilie pia mitandaoni kwa jina: bigsale_co.ltd (Facebook, Instagram)